background img

The New Stuff

BAADA YAKUFANYIKA JANA JUMAPILI_SERENGETI FIESTA 2014 YASAMBAZA UPENDO MUSOMA__YAFANYIKA CHINI YA MISHUMAA KUWAKUMBUKA WALIOPOTEZA UHAI AJALINI MJINI MUSOMA_KWA PICHA NA HABARI ZAIDI BOFYA HAPA!!


KUTOKA MTANDAONI
Jana mjini hapa Musoma hali ilionekana ya huzuni ila ghafla Serengeti Fiesta ilisambaza upendo ulioleta faraja kwa wakazi wa mjini musoma walioondokewa na ndugu zao katika ajali mbaya wiki iliyopita.


Sehemu ya wasanii wakiwa na Mishumaa kuwakumbuka waliofariki katika ajali wiki iliyopita mjini Musoma na pia kama ishara yakuwafariji wahanga wa ajali hiyo

Katika tamasha hilo mishumaa iliwashwa ikiwa ni pamoja na wasanii kutoa sehemu ya malipo yao kuwapelekea wahanga wa ajali hiyo hatua iliyopongezwa na watu wengi

0 comments:

Popular Posts