background img

The New Stuff

KILI MUSIC TOUR SEPTEMBA 6. PATAKUA HAPATOSHI NDANI YA LEADERS CLUB DAR ES SALAAM

 Mashabiki wa muziki toka moja ya mikoa Tanzania wakifanya yao katika kili music tour 2014

Ikiwa zimebaki siku mbili kufikia kilele cha safari ya Kili music Tour jijini Dar es salaam, imeripotiwa kuwa patakua hapatoshi pale viwanja vya leaders club kwa kiingilio cha Tsh. 6000 tu! kwani ndani ya nyumba watakuwepo Weusi wakivalisha wenye gere miwani zao, Ay na wakali wengine kibao ndani na nje ya bongo.
Kusanya kila senti zikifika buku 6 tu! tukutane palee Leaders club Dar es salaam ama DZM kikwetu kwetu na Kilimanjaro premium larger

0 comments:

Popular Posts