background img

The New Stuff

Snura amfanyia mwana birthday iliambatana na futari kwa wasanii wa bongo

Msanii wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi jana alimfanyia mwanaye, Talha Kassimu bethdei ya nguvu iliyoambatana na kufuturisha. Zoezi hilo lilifanyika nyumbani kwa Snura maeneo ya Mwananyamala ambapo wasanii mbalimbali walihudhuria kwenye futari na sherehe hiyo ya bethdei ya mwanaye aliyetimiza miaka mitatu.

0 comments:

Popular Posts