background img

The New Stuff

RAU UNIT HISTORY PART 1

RAU UNITY ni kundi lililoanzishwa na msanii wa HIPHOP Rau Bambino akiwa na wenzake Baraka na Roger wote wanafanya mziki wa HIPHOP Katika pilika pilika za kuanzishwa kwa kundi hili kulikuwa na vikwazo vya hapa na pale ikiwa ni pamoja na kutokuitikiwa na wasanii wengi wa HIPHOP na RnB kama ilivyotarajiwa. Kundi hili hushiriki katika matamasha mbalimbali ya kimuziki likiwemo tamasha la JIONI YA MSANII linalofanyika kila jumamosi ya mwisho wa mwezi katika kituo cha Mkombozi Moshi mjini hapo ndipo kunapoamua nani ni gwiji wa HIPHOP Rau na majirani zake wa Majengo,Kiboriloni,Mawenzi,Soweto na Pasua. Kundi limejizolea heshima kubwa katika matamasha hayo kutokana na kazi zake ila bado kundi linaona haitoshi lazima tujipange mwana 2013 tuje kivingine isiwe kama zamani..

0 comments:

Popular Posts