RAU UNIT HISTORY PART 1
RAU UNITY ni kundi lililoanzishwa na msanii wa HIPHOP Rau Bambino akiwa 
na wenzake Baraka na Roger wote wanafanya mziki wa HIPHOP
   Katika pilika pilika za kuanzishwa kwa kundi hili kulikuwa na vikwazo
 vya hapa na pale 
ikiwa ni pamoja na kutokuitikiwa na wasanii wengi wa HIPHOP na RnB kama 
ilivyotarajiwa.
Kundi hili hushiriki katika matamasha mbalimbali ya kimuziki likiwemo 
tamasha la JIONI YA MSANII linalofanyika kila jumamosi ya mwisho wa 
mwezi katika kituo cha Mkombozi Moshi mjini hapo ndipo kunapoamua nani 
ni gwiji wa HIPHOP Rau na majirani zake wa 
Majengo,Kiboriloni,Mawenzi,Soweto na Pasua.
   Kundi limejizolea heshima kubwa katika matamasha hayo kutokana na 
kazi zake ila bado kundi linaona haitoshi lazima tujipange mwana 2013 
tuje kivingine isiwe kama zamani..
 
 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment