JINI MAHABA LAITAFUNA BONGO MOVIEE!!!!!__ AUNT EZEKIEL BADO MAJANGAAA!! SASA AGEUKA SHUGA MAMII!!!! MJINI___BOFYA HAPA KUJUA KULIKONI
KUTOKA MTANDAONI
Kutoka kule Bongo movie sakata la mapenzi na michepuko mambo yamezidi kuwa mabaya kwa mwanadada Aunt Ezekiel ambaye sasa anashutumiwa kuwa anapenda dogo dogo ama 'serengeti' Aunti alianza kushutumiwa kwa utovu huo wa adabu kwa mara ya kwanza na msanii Steve Nyerere katika viwanja vya leaders alipoonekana akiwa na kijana Moze Iyobo ambaye ni dancer mashuhuri wa msanii Diamond Platnum. Moze ni kijana anayesemekana huwenda hata Aunti angeweza kuwa mzazi wake.
Akimwagiwa mzigo huo wa lawama kutoka kwa wadau na mastaa mballi mbali mwenyewe asema ni kwa raha zake mwenyewe huku ikiwa tayari ni mke wa mtu.
Ingawa kwa upande wa Moze inaweza kuwa tiketi nzuri kwake katika tasnia ya Sanaa bongo lakini wadau hasa mashabiki wake wameonesha kusikitishwa na kitendo hicho ambacho wamesema kinamweka kijana huyo katika orodha ya mastaa wachafu bongo
0 comments:
Post a Comment