UTABIRI WA MSANII AT KWA MWANADADA RAY C WATIMIA SASA ALA BINGO NONO JIJINI_AMILIKI BIASHARA YAKE MWENYEWE 24HrS. YUPO BIZE NA MITIKASI_BOFYA HAPA KUJUA NI BINGO GANI KAPATA..
KUTOKA MTANDAONI
Yale yakwenye nyimbo ya AT na Gelly waliomshirikisha mwanadada Ray C sasa yaonekana kuwa kweli kwa mwanadada huyo. Ni baada yakufungua mgahawa maeneo ya Mwananyamala Hospitali ambapo anahudumia yeye mwenyewe jikoni kazi inayomfanya awe bize saa 24.
Katika bingo hilo nono kwa mwanadada huyo anamfanya sasa atule na kuyapanga misha upya Hongera Bi'dada Kiuno bila mfupa Ray C
 

 
 
 
 
 
 
0 comments:
Post a Comment