background img

The New Stuff

BREAKING NEWZ!!!__KEYS' HOTEL MOSHI YANUSURIKA KUTEKETEA KWA MOTO__BOFYA HAPA KUPATA TAARIFA ZAIDI



BREAKING NEWZ
Hotel ya kitalii  inayomilikiwa na mbunge wa Moshi mjini mheshiwa Ndesa Mburo (Chadema) imenusurika kuteketea kwa moto mchana wa leo moto unaosemekana kuanzia kwenye moja ya miti aina ya minazi iliyoko hotelini hapo.

Chanzo kamili cha moto  huo bado hakijaeleweka bayana japo taarifa za awali zinasema huwenda umesababishwa na hoti ya umeme.

0 comments:

Popular Posts