KUTOKA BONGO MOVIE!!!__MICHEPUKO PLUS PICHA ZA NGONO VYAMPONZA STEVE NYERERE BONGO MOVIE__SOMA HAPA!!
KUTOKA MTANDAONI
Kumekuwa na wimbi kubwa la madaina malalamiko juu ya mienendo ya wasanii wa bongo movie kimaadili na taswira yao mbele ya jamii kwa ujumla hali inayotajwa kuwa imemuweka pabaya aliyekuwa raisi wa chama hicho Steve Nyerere.
Ni hivi mjuzi tu iliripotiwa Steve kumsimanga hadharani mwanadada Aunt Ezekiel kuwa ni mchepukaji muri na kumtaka kuachana na tabia hiyo kwani yeye ni kioo cha jamii.
Leo zimetoka taharifa kupitia ukurasa wake wa Instagram kuwa anang'atuka katika cheo chake hicho bila sababu zinaojulikana kubwa ikiwa ni kuna watu wanamuwinda.
Wadadisi wa masuala ya bongo movies wanasema huwenda tamko hilo la Steve limekuja ikiwa ni kutokana na kushikiwa bango na wasanii wenzake hasa wakina dada juu ya kile wanachokiita uzalilishaji na sheria kandamizi 'kuzuia picha chafu/uchi'
Zee kama madau wa Sanaa bongo napenda kumwambia bwana Steve Nyerere kuwa kukimbia tatizo siyo kulittua bali kuliongeza hivyo aufikirie vizuri uamuzi wake huo

0 comments:
Post a Comment