KUTOKA MAJUUU!!....BEYONCE ASHEHEREKEA MIAKA 33 NDANI YA ZENGWE NA RAPPER JAY Z
Kwenye picha ni mwanadada Beyonce akiwa na mumewe rapper Jay Z pamoja na mwanao Blue Ivy
Mwanadada uyo ambaye pia ni mwanamitindo anasheherekea sikukuu yake yakuzaliwa na kutimiza miaka 33 uku kukiwa na wingu ndani ya uhusiano wake na rapper Jay Z ambaye analalamikiwa kuwa na mchepuko!!!
0 comments:
Post a Comment