background img

The New Stuff

SAKATA LA PICHA ZA UTUPU WANAHABARI, BAADA YA BI'DADA DIVA WHO IS NEXT!!!!!....SINTAH AJISAFISHIA NJIA MAPEMAAA BOFYA KUONA IZO PICHA NA KUJUA KAFANYA NINI!!

      Moja kati ya picha za mwanadada Sintah zinazolalamikiwa kuwa ni picha ya utupu
 Kwa picha zaidi fuatilia mtandao wetu

 Sintah pichani

Mwanadada mtangazaji wa kituo maarufu nchini Christine Manongi ‘Sintah’,amekanusha vikali kuwepo kwenye orodha ya wanadada wakitanzania mastaa wanaopiga picha za uchi na kudai mwenye picha zake akiwa utupu azitoe wazi watu wazione. Akiulizwa juu ya hilo amesema hajawai kupiga wala kupigwa picha za namna hiyo
Unayo hiyo Habariii!!!!

0 comments:

Popular Posts