background img

The New Stuff

ONYO! KALI LATOLEWA KWA WATUMIAJI WA MITANDAO NCHINI...KAMPENI YA FUTA DELETE KABISA YASHAURIWA UPYA ... JESHI LA POLISINALO HALIJAKAA KANDO LAHAMASISHA USHIRIKIANO NA JAMII ... KUJUA ONYO! HILO BOFYA! HAPA KUONA KATIKA VIDEO


KUTOKA RUNINGANI
Katika kipindi cha kipima joto TIV leo imeelezwa kuwa ni kosa la jinai kutumia mitandao vibaya kama makosa mengine, mablogger na wasanii wahaswa kuwa mfano bora katika matumizi sahihi ya mitandao. Kampeni ya 'futa delete kabisa' yahamasishwa upya kwa watumiaji mitandao ya kijamii. Yaelezwa haina maana kuwa na zaidi ya rafiki elfu tano wasio na faida mtandaoni.Saidia jamii kwa kukemea maovu mitandaoni.

0 comments:

Popular Posts