background img

The New Stuff

RIPOTI ZA MAJUUU!!!...UTANI WA RAPPER SNOOP DOGG KAMA WHITE SNOOP DOGG "TODD" WAGEUKA MWIBA MKALI!! UNAJUA NI UTANI UPII!!? BOFYA HAPA KUUJUA ZAIDI

Kama anavyoonekana kwenye picha hapo chini huyo ni rapper Snoop Dogg aliyetamba vilivyo kwenye kibao cha "Wiggle" ameamua kutoa kipande cha video akijiita white snoop "Todd" anitangaza mtandao wa wanaume weupe ama 'wazungu' wanaotafuta wenzi.Hata ivyo imegundulika kuwa mtandao huo haupo hali iliyozua hasira kwa wengi hasa weupe wakiita sio utani bali ni ubaguzi wa wazi..ikifuatiwa na matukio yakuuawa vijana wawili weusi nchini uko na polisi
 wanasema mzaha mzaha una 'deshi' ..... 'deshi'...... Anko!! Snoop
                                                                                             

0 comments:

Popular Posts