Msanii Diamond akiwa jukwaani na sare za jeshi
KUTOKA MTANDAONI
Ikiwa ni siku chache baada ya show ya Fiesta kufanyika dar es salaaam jeshi la wananchi 'jwtz' limemshukia na kusema litampa adhabu ali likibaini kosa hilo alilolifanya msanii huyu.
Wasanii wawili diamond na Ney wa mitego
0 comments:
Post a Comment