Na
Zee Trojani
Adje
adje watu wangu wa ukwe ee!!! Ee! Si kweli wewe ni mtu wangu wa ukweli watoto
wa kishua wanamwitaga besti frendi! Sasa Yule besti frendi wangu ndio wewe
mwanangu mwenyewe, ujue kuchukua muda wako na kunisoma mwanao ni bonge ya
shavu? Ni vile tu sipo karibu nikupe madala kadhaa mwanangu wa ukwe ee!! Yani
ili jina mwanangu wa ukwe ee!! Si unajua vile tunalitamkaga pale kijiweni …
ekhee!! Hivyo hivyo wala ujakosea si ndio maana nikasema wewe ndio mchizi wangu
yani ndio vile vile umepatia mwenetu
mwenyewe mashavu sana yani wenye miji yao wanasemaga barida barafu hahah!!!
Ujue watoto wa Arachuga na pale Mo Town huwa wananifurahishaga sana wao waasema
baridi ya Yesu! Awa jamaa ni ma masi nondo si unajua Ibada ibadani kulaleki
ujue na wewe mwanangu ili zile mishe ziweze kwenda kwenye reli saa Godi lazima
umuweke mbele mbeleni yani au siyo mwenetu? Kula tano kwanza maana wewe ndio
Yule mchizi wangu ninae mkubaligi.
Asa
tuachane na hayo yote tudondoke mzigoni asa kule penyewe nilipokutolea madini
mi mwanao si unanijua ni fulu apolo asa mgodi ndio kile kijiwe chetu wenyewe
wanakiitaga dambwe! Unajua dambwe wewe?..sasa kwanini usilijue kwa mfano wakati
wwe ndio Yule mchizi wangu wa ukwe ee!!. Asa pale dambweni leo ndio nilikuwa
pale mchana flani wenye baridi la Yesu, si unakumbuka zile za kukimbizana na
mzee wa majipu? Asa wana hatulalai yani ni fulu macho kodo na kila cha nyuzi si
unajua kila cha nyuzi ni kitu gani? Aaaah!! Mwenetu ni magazeti si unaona
yanatuangushia mzigo kila siku mara pale katumbuliwa kigogo mara kule napo ni
jipu hahah ni fulu kutumbuana sikuizi hadi wana nao wananitumbua na mimi eti
jipu! Hahah kwani mi mwenetu ni jipu? Kwanza kivipi yani, alafu unaanzaje
kunifanya Zee jipu?
Sasa
kweny e kile cha nyuzi kuna jipu wana wamelizogoshea mitikasi kibao yani Ooh!
Sasa sisi tutafanya vipi michongo yetu Ooh!! Sisi puli tebo ndio ajira yetu, si
umeshanisoma mwenetu sasa ujue huku dambweni wana wanatengeneza mipesa kibao
yani kama angepita JPM basi uku ni jipu flani limejificha, Okhooo!! Wenetu
kwani nimewachoma? Ila hakuna aliyesikia huku tupo na wana tu wale TRA huku
hawapitagi si unajua zao ni ze gadiani ma deile nyuzi wenyewe wananyuzika
kizungu tu ila ene wei kwa leo tusiwa maindi maana ujue nao wanazingua kinoma
yani kutopupa mashavu ila no sweti au sio masela? Leo tuchezeshe za dambweni
tu, asa Zee ndio nakuwa adicoketi wetu kwa mfano si unajua mwenenu nikila suti
zao za italia aaah! Mbona kingereza kinakuja chenyewe tu alafu nikianza agiyu
huko kwa wakubwa ni fulu maruhusa tu dambweni, msikonde wala nini mwenenu nipo
gado tu mbona.
Asa
kwa mfano pale kwa Shomari mfupi unazani tunapoteza madola mangapi kwa saa? Mwanao mtu mzima ujue mpaka ana kompleini
masela wanalisha viji pale kwa kuzungusha tebo tu! Ujue pale tunalipiaga cha
samunge si unakijua mwanetu jero si pesa ndogo mpaka imewekwa ya silva. Ila
badae masela nitawaibukia tufanye madoido kwa mzee wa majipu kama vipi ngoja
nizingushe tebo ujue tebo inatembea na chupa ya laga flani, sas huku hizo
hatuna tuna nyonya tu cha mchawi si unakijua wewe mwenetu ntakikuletea yani
ukikipiga tu lazima ugande kwanza kisoja theni mishe ziendelee, ila itabidi
upige misoso mwenetu kabla ujapiga cha mchawi maana vifafa kwa dambwe kesi
yakujisevu mwenyewe wana wana chinja kona huku.
0 comments:
Post a Comment